Mti kivuli fc yaichapa Mnarani fc magoli 3 kwa 1 ,magori yaliyowekwa kimiyani na wachezaji hatari wa mti kivuli fc.Mnamo kipindi cha kwanza mnarani fc waliweza kutawala vizuri na kuweza kupata gori la kuongoza kupitia kwa beki wake machachari wa kulia kwa jina joni maji na hapo ndipo achezaji wa mti kivuli fc walivyoamka na kufanya mabadiliko ya kumtoa mchezaji wa toni na kuiongeza forward wao hatari kwa jina la manywele na ndipo hapo walipo wa piga mnarani magori 3 kwa 0.

hapa kocha mkuu wa mti kivuli akibadilishana mawazo na team capten shear boy.
wachezaji wakiwa kwenye mapumziko.
Comments
Post a Comment