Posts

Showing posts from July 21, 2012
Image
MAONI NINI KUHUSU PICHA HII.
Image
BI HARUSI HAFA MAJI BWANA HARUSI APONA. HUKU majonzi yakiwa bado yametawala miongoni mwa Watanzania kufuatia vifo vya watu waliokuwa ndani ya meli ya MV Skagit ambayo ilipinduka na kuzama Julai 18, 2012 karibu na Kisiwa cha Chumbe, Zanzibar mambo mengi yameibuka. Nje ya ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik siku ya Jumatano (juzi) ambako serikali ilikuwa ikitoa ripoti ya maendeleo ya uokoaji, baadhi ya watu walikuwa katika hali ya majonzi kufuatia ndugu zao kutojulikanna walipo. Hamis, aliyedai ni mfanyakazi wa Kampuni ya Azam ya tajiri Said Salim Bakheressa alisema mdogo wake, Khalfan na mchumba wake, Zaina Ally walikuwa ndani ya meli hiyo kwenda Zanzibar kufunga ndoa Alhamisi (juzi) kama maandalizi ya kuukaribisha Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, lakini mpaka siku hiyo mdogo wake aliokolewa, ila Zaina hajulikani alipo. Hamis alisema: “Naamini shemeji yangu amefariki dunia, kwani katika watu wote waliokolewa hayupo, maskini mdogo wangu (Khal...
    TUESDAY KIHANDALA MAJI SHINGONI  APIGA MCHANGA WA MACHO SHS MIL 500 MTOTO WA KABILA. BAADA ya kuripotiwa kwamba Bosi wa Kundi la Fukuto Art Promotion la jijini Dar, Tuesday Kihangala ‘Mr. Chuz’ (pichani) ametapeli fedha shilingi milioni 500,000 imevuja kuwa aliyetapeliwa ni ndugu wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo(DRC),Joseph Kabila, aitwaye Itien Kabila. Kwa mujibu wa chanzo chetu, Kabila ambaye ni mfanyabiashara kati ya Congo na Tanzania alimkopesha fedha hizo Mr. Chuz kwa ajili ya makubaliano ya kufungua kampuni ya kusambaza filamu jijini Dar. Hata hivyo, mpaka sasa Mr. Chuz hajatimiza lengo hilo na amekuwa akikwepa kukutana na kupokea simu za Kabila. Kabila amepanga kuzuia filamu ya Mr. Chuz ya ‘Dirty Game’ inatarajiwa kuingia mitaani hivi karibuni ili kufidia fedha zake. Mwandishi wetu alipompigia simu, Mr. Chuz kuhusiana na sakata hilo alisema kuwa yeye anafanyabiashara na jamaa huyo na wala hajamtapeli. “Miye sijamtapeli ingawaje ni kw...
Image
KIMARA UNITED FOOTBALL CLUB. Kimara united ni timu ya watu wa kimara   wanaipenda na wanaipa sapoti kwa namna zote ili kuakikisha timu yao inafika mbali ukilinganisha ni timu zingine zilizoea kuziona hapo zamani.Hii timu yenye malengo makubwa sana na ndoo maana wakaweza kumchukua kocha toka twiga stars ili wapate kufundishwa na kutimiza malengo yao.Hakika itafika mbali na hata kuipepelusha bendera ya tanzania kwa baadhi ya wachezaji .   vijana wakiwa mzigoni kwenye mazoezi magumu huko kwenye uwanja hao kama mdau wa blog alivyowakuta.  Vijana  wa kimara (KUFC)wakifanya mzoezi kwa juhudi kubwa chini ya usimamizi wa kocha FETTY. ZD the captain akiwajibika katika moja ya mozezi hapo uwanjani kwao kama mdau wa blog alivyokuwakuta.