Posts

Showing posts from April 8, 2014
Image
SIMBA  ,AZAM , YANGA  MKO WAPI  KIPAJI HIKI HAPA KIMARA UNITED . JINA  KAMILI : JOHN MAJI  a.k.a miji boy ,dogo anayejielewa uwanjani kwa kweli  anakila sifa za kupiga  kwenye hizo tajwa hapo. angalia mwenyewe.
Image
] Ng'ombe hazeeki maini ndugu  muangalie mkongwe  akifanya yake  hapo kinesi kabla  ya mechi kuanza  ya kimara united huko kinesi. Pamoja  hakuwa na vifaa vya mpira lakini mkongwe huyo aliweza kumiliki mpira vizuri sana ...dah mkongwe  wa zamani kwenye  soka  hongera sana.
Image
WAYNE  ROONEY   kuvaaa  bayern munich  huku mjini ujeruman  kwenye mchezo wa marudiano  ambao wa  hawali walitoka  draw 1-1.Manchester united ili ashinde  anaitajika ushindi wa aina yoyote ile au draw ya  2-2 basi hapo ataweza  kuungana na muingereza mwingine ambaye  kashafunzu kuingia kwenye round ya nusu final. Vile vile hawatakuwepo na mpachika mabao wao  robin van persie  ambaye  ana majeraha ya miguu. Lakini kwa upande wa  Bayern munich watakuwa wachezaji wao nguli na hatri  kama Roben na Ribery hakika manchester asipokuwa makini  hatapata tabu lakini vile na wao pia watawakosa wachezaji wao hata  kama Bastian Schweinsteiger ,Martinez  na Alcatara . kama manchester watatumia  mwanya huo basi kesho  watashinda  na kuzidi kuwakumbusha uchungu ule wa mwaka 1999 .
Image
Chealse yapita  kiume kwenye michuiano ya UEFA CHAMPIONS LIGI &REAL MADRID  halmanusra  haangukie  pua.