Posts

Showing posts from August 4, 2012
Image
WABUNGE WAONGEZEWA MARUPU RUPU MJENGONI. MARUPURUPU ya wabunge ikiwamo mishahara imeongezwa kutoka Sh7.4 milioni kwa mwezi hadi takriban Sh11milioni kwa mwezi, hatua ambayo imeibua mjadala mwingine mzito miongoni mwao. Tangu mwaka jana, wabunge wamekuwa katika vita ya kupokea au kutopokea posho ya vikao ambayo imekuwa ikikolezwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe ambaye alizikataa akisema mbunge anapokuwa kazini hahitaji kulipwa. Hata hivyo, uchunguzi wa gazeti hili umebaini kwamba sasa vita kubwa ipo katika marupurupu mapya ambayo pamoja na kuchanganya na mshahara yanafikia Sh11milioni kwa mwezi. Spika wa Bunge, Anne Makinda alipoulizwa jana alithibitisha kuhusu kuongezeka kwa malipo jumla ya wabunge kwa mwezi lakini akasema hafahamu kiwango halisi kilichoongezwa. Makinda alisema nyongeza iliyopo siyo kwa wabunge tu, bali watumishi wote wa Serikali na ilitangazwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (M...
Image
MRISHO NGASA  WA MSIMBAZI SIO TENA WA JANGWANI WALA RAMBA RAMBA. Mshambuliaji wa Taifa Stars Mrisho Ngassa amesajiliwa na wekundu wa msimbazi Simba kwa mkataba wa miaka miwili toka Klabu yake ya zamani Azam FC hivyo kumaliza uvumi kuwa alikuwa anajiandaa kutua Jangwani
Image
TANZANIA SISI NI WAKULIA  KILA SIKU SIJUI LINI TUTAKUWA NA FURAHA. Bondia Mtanzania Seleman Kidunda ametolewa katika michuano ya Olimpiki na Vasilii Belous wa Moldova kwa points 20 kwa 7. Kidunda alipoteza raundi zote kwa pointi 2-8, 2-5 na 3-7. Matumaini yamebaki kwa wanamichezo wengine 6  
Image
Sir Alex Ferguson has reacted angrily to suggestions he could profit from Man Utd's share sale - says he is "insulted   Manchester United target Ganso will cost over £40m - according to his club Santos.  A host of Premier League sides, including Man Utd, have been linked with a move for Celtic's £7m rated Victor Wanyama - but who is he? PAPER TALK | Manchester United are reportedly rivaling Arsenal for Celtic's Victor Wanyama! Manchester United fans have expressed anger at the Glazers' plan to keep most of the proceeds from the club's share sale!  Manchester United's owners have confirmed a 10% share of the club will be floated on the New York Stock Exchange  
Image
MRISHO KHALFAN  NGASA   MORNING TRAINING SESSION AT COCO BEACH.
Image
Anders Lindegaard signs new contract at Old Trafford - proud to be a Manchester United player
Image
Peter Solberg . Rally Finland is known to be the fastest of the 13 events in the championship. Petter Solberg were quickest through SS11 Lankamaa, with an average speed of 125,2 kph. Stage was last used in 2008, but then the average speed were 123,88 kph. Add some big jumps, and there are no room for mistakes on the Finish gravel roads
Image
RAYN GIGGS Ryan Giggs and Team GB play South Korea today, a great performance or a semi-final place, what matters most to you?  Manchester United have £20m more to spend this summer - so who are their top targets? GMF picks the players Sir Alex Ferguson should sign here:   Sao Paulo deny a deal has been done between Manchester United target Lucas Moura & Inter Milan!    [VIDEO] Cristiano Ronaldo’s Real Madrid smash David Beckham’s LA Galaxy 5-1 in ‘battle of the superstars’ pre-season friendly!
Image
Peter Solberg Next up is the legendary speed test, Ouninpohja! 33,01kms of Finish gravel road. Petter Solberg is the current speed record holder, with an average speed of 130,28 kph, in 2004. Stage is run twice, and second pass will be as the Power Stage. Action expected!  Petter is currently 4th O/A as we head for the two final stages. Loeb is leading, ahead of Hirvonen and Latvala. SS17 starts 15:37 and SS18 starts 18:00.