Posts

Showing posts from September 4, 2012
Image
safari ya mwisho ya  Dauda Mwangosi .Mungu ailaze mahala pema peponi Amini. Mkewe akilia kwa uchungu juu ya kaburi la marehemu mumewe. Mtoto wa Marehemu akifarajiwa na Dr slaa mwenyekiti wachama cha Chadema.Huku mtoto huyo akionekana ni mwenye uchungu sana.hakika mungu ampe moyo wa imani na ujasiri. Enzi za uhai zake.Hakika utakumbukwa kama shujaa.Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi.  
Image
HIVI NDIVYO MWANAHABARI DAUD MWANGOSI ALIVYOPOTEZA MAISHA LEO KTK VURUGU ZA CHADEMA NA POLISI Hapa polisi wakiwataka wafuasi wa Chadema kutawanyika eneo la tukio ofisi za Chadema Nyololo Mufindi Mwili wa mwanahabari Daud Mwangosi ukiwa chini Daud Mwangosi kulia enzi za uhai dakika 20 kabla ya kuuwawa kwake Mwandishi wa habari wa Chanel Ten mkoa wa Iringa na Mwenyekiti wa chaa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Iringa Daud Mwangosi ameuwawa katika vurugu za Polisui i na wafuasi wa Chadema katika kijiji cha Nyololo wilaya ya Mufindi mkoani Iringa leo Mwanahabari huyo Daud Mwangosi aliuwawa majira ya saa 10 jioni katika ofisi za Chadema Nyololo huku askari mmoja akijeruhiwa vibaya kwa risasi . Kabla ya kuuwawa kwa mwanahabari huyo mabomu yaliweza kupigwa eneo hilo kuwatawanya wafuasi hao wa Chadema ambao walikuwa wakigoma kutawanyika eneo hilo na kuamua kukaa chini kuwa haapo tayari kuondoka katika ofisi yao. Chanzo cha mwanaha...
Image
MASANJA MKANDAMIZAJI AMWAGA MAHUBIRI UBARI. Masanja Mkandamizaji msanii wa vichekesho Mchungaji Mtarajiwa. MSANII Nyota na mchekeshaji mahiri katika tasnia ya filamu Swahiliwood Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ hivi karibuni alifanya huduma ya mahubiri ya dharura katika mazishi ya mdogo wake aliyejulikana kwa jina la Varerian Mgaya yaliyofanyika huku Mbalali katika Kijiji cha Ubaruku, Masanja alitumia muda aliopewa na familia kwa ajili ya kutoa shukani kwa ndugu na jamaa waliojitokeza katika mazishi hayo yaliyoudhuriwa na mamia ya waombolezaji kutoka sehemu mbalimbali, Masanja alisistiza vijana na jamii nzima kuokoka na kumtumikia Mungu. Umati wa wakazi wa Ubaruku wakimsikiliza Masanja Mkandamizaji haonekani pichani. Wakazi wa Ubaruku wakiwa makini kumsilikilza Mchungaji mtarajiwa Masanja Mkandamizaji. Mac Reagan akipiga picha katika tukio hilo. Masanja akisikiliza Mhubiri mwenzake katika makaburi ya Ubaruku. Msanja Mkandamizaji akiwa Mh. Neema Mg...
Image
. Club ya Real Madrid ya Hispania imemchukua mkali wa soka kutoka Chelsea kwa mkopo wa msimu mmoja Michael Essien ambae ni mzaliwa wa Ghana . Essien ana miaka 29 tu toka aanze kupumua lakini ana miaka 12 tu toka aanze soka.. alianza kwa kuichezea Bastia kuanzia 2000 – 2003 na kuifungia magoli 11, 2003-2005 akaingia Lyon aliyoifungia magoli 8, 2005akaingia Chelsea aliyoifungia magoli 17 mpaka 2012 ambapo sasa amekwenda Real Madrid kwa mkopo.     Essien akiwa na kocha wa Real Madrid Jose Mourinho.