MAANDAMANO YA WAISLAMU YALIVYOCHAFUA HALI YA HEWA JIJINI DAR LEO
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa leo
katika maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam baada ya polisi kuzuia
maandamano yaliyotaka kufanywa na baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu
kitendo kilichopelekea…
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa leo
katika maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam baada ya polisi kuzuia
maandamano yaliyotaka kufanywa na baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu
kitendo kilichopelekea mabomu ya machozi kulipuliwa na baadhi ya waumini
hao kutia nguvuni na polisi.
Comments
Post a Comment