Waziri wa usalama wa Libya ajiuzulu

Ripoti kutoka Libya zinaeleza kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Fawzi Abdel A'al, amejiuzulu.
Magari yaliyoharibika kwenye bomu Triooli, tarehe 19 Agosti
Hakujatolewa sababu.
Inatokea siku moja baada ya polisi katika mji mkuu, Tripoli, kutuhumiwa kuwa hawakufanya kitu kuwazuwia Waislamu wa msimamo mkali wasibomowe msikiti na kaburi la Wasufi mchana.

Comments

Popular posts from this blog