Tanzania imejaaliwa kuwa na aina nyingi sana za wanyama katika mbuga zetu. Na wao kama viumbe hai kuna wakati wanapata magonjwa yanayotishia uhai wao. Ungekuwa wewe ni daktari wa wanyama ungepata ujasiri wa kutibu wanyama wakali kama Simba, Chui, Mamba au Nyoka

Comments

Popular posts from this blog