MRISHO NGASA WA MSIMBAZI SIO TENA WA JANGWANI WALA RAMBA RAMBA.
Mshambuliaji wa Taifa Stars Mrisho Ngassa
amesajiliwa na wekundu wa msimbazi Simba kwa mkataba wa miaka miwili
toka Klabu yake ya zamani Azam FC hivyo kumaliza uvumi kuwa alikuwa
anajiandaa kutua Jangwani
Mshambuliaji wa Taifa Stars Mrisho Ngassa
amesajiliwa na wekundu wa msimbazi Simba kwa mkataba wa miaka miwili
toka Klabu yake ya zamani Azam FC hivyo kumaliza uvumi kuwa alikuwa
anajiandaa kutua Jangwani
Comments
Post a Comment